Swali: Je, inafaa kumbusu dada yangu au yeye akanibusu?
Jibu: Hakuna neno ukambusu dada yako au yeye akakubusu. Vivyo hivyo wale Mahaarim zako wote kama vile shangazi yako, mama yako mdogo, mke wa baba yako, mama yako na wapwa wako. Wabusu kwa shavu, pua, paji la uso au kichwa akiwa ni mtumzima. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akimbusu Faatwimah pindi anapoingia kwake au pindi yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapoingia kwake akiushika mkono wake. Abu Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) alipongia nyumbani kwa msichana wake ´Aaishah ilihali ni mgonjwa alimbusu kwenye shavu lake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (07/187)
- Imechapishwa: 12/06/2021
Swali: Je, inafaa kumbusu dada yangu au yeye akanibusu?
Jibu: Hakuna neno ukambusu dada yako au yeye akakubusu. Vivyo hivyo wale Mahaarim zako wote kama vile shangazi yako, mama yako mdogo, mke wa baba yako, mama yako na wapwa wako. Wabusu kwa shavu, pua, paji la uso au kichwa akiwa ni mtumzima. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akimbusu Faatwimah pindi anapoingia kwake au pindi yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapoingia kwake akiushika mkono wake. Abu Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) alipongia nyumbani kwa msichana wake ´Aaishah ilihali ni mgonjwa alimbusu kwenye shavu lake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (07/187)
Imechapishwa: 12/06/2021
https://firqatunnajia.com/mtu-kumbusu-mahram-wake-wakati-wa-mamkuzi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)