Mtu kuitwa kwa jina la Khaliyl-ul-Llaah

Swali: Je, inajuzu kuitwa “Khaliyl-ur-Rahmaan” au “Khaaliyl-ul-Llaah”?

Jibu: Hapana. Hili halijuzu isipokuwa kwa haki ya Ibraahiym na Muhammad (´alayhimas-Swalaat was-Salaam).

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majid%20%207%20-%205%20-%201435.mp3
  • Imechapishwa: 06/10/2020