Swali: Kuna mwanamke mwingereza ameingia katika Uislamu na anaogopa kumuonyesha Uislamu baba yake. Anachelea asije kumpiga na kumdhuru. Je, inafaa kwake kuacha kujisitiri kwa Hijaab na akaficha Uislamu wake?
Jibu: Ikiwa hawezi kuachana na baba yake, basi afiche Uislamu wake mpaka pale atapoweza kuachana naye. Ama kama anaweza kuachana naye, basi aonyeshe Uislamu wake na aachane na baba yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
- Imechapishwa: 16/03/2019
Swali: Kuna mwanamke mwingereza ameingia katika Uislamu na anaogopa kumuonyesha Uislamu baba yake. Anachelea asije kumpiga na kumdhuru. Je, inafaa kwake kuacha kujisitiri kwa Hijaab na akaficha Uislamu wake?
Jibu: Ikiwa hawezi kuachana na baba yake, basi afiche Uislamu wake mpaka pale atapoweza kuachana naye. Ama kama anaweza kuachana naye, basi aonyeshe Uislamu wake na aachane na baba yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (50) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah%20Fiqh-06-05-1437.mp3
Imechapishwa: 16/03/2019
https://firqatunnajia.com/msilimu-anaogopa-kuvaa-hijaab/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)