658- Nilimuuliza Ahmad juu ya msafiri anayekula wakati wa mchana kisha akarudi nyumbani na kumkuta mke wake ndio punde amesafika kutoka katika ada yake ya mwezi; je, inafaa kwake akalala naye? Akajibu:
“Bora asifanye hivo. Lakini imepokelewa kwamba Jaabir bin Zayd alilala na mke wake katika hali kama hiyo.”
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 136
- Imechapishwa: 26/03/2021
658- Nilimuuliza Ahmad juu ya msafiri anayekula wakati wa mchana kisha akarudi nyumbani na kumkuta mke wake ndio punde amesafika kutoka katika ada yake ya mwezi; je, inafaa kwake akalala naye? Akajibu:
“Bora asifanye hivo. Lakini imepokelewa kwamba Jaabir bin Zayd alilala na mke wake katika hali kama hiyo.”
Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 136
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/msafiri-aliyerudi-nyumbani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)