650- Nilimsikia Ahmad bin Hanbal akisema:
“Bora ni kutokufunga safarini.”
651- Nilimsikia akiulizwa kuhusu msafiri anayefunga katika Ramadhaan. Akajibu:
“Sipendezewi na jambo hilo, ni mamoja yamefanyika katika Ramadhaan au nje yake. Sikhitari kufunga safarini. Lakini akifunga, swawm yake ni sahihi.”
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 135
- Imechapishwa: 26/03/2021
650- Nilimsikia Ahmad bin Hanbal akisema:
“Bora ni kutokufunga safarini.”
651- Nilimsikia akiulizwa kuhusu msafiri anayefunga katika Ramadhaan. Akajibu:
“Sipendezewi na jambo hilo, ni mamoja yamefanyika katika Ramadhaan au nje yake. Sikhitari kufunga safarini. Lakini akifunga, swawm yake ni sahihi.”
Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 135
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/bora-kutofunga-safarini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)