Swali: Kuna mwanamke wa Kiislamu ambaye tayari kishaolewa anaitukana dini. Je, atalikike kwa mume wake kwa sababu ya kitendo hichi? Vipi ikiwa atatubia?
Jibu: Anaritadi kutoka katika Uislamu. Mwenye kutukana dini anatoka katika Uislamu midhali akili ya mtu huyo haina kasoro. Ikiwa akili yake ina kasoro hapati dhambi. Vinginevyo anaritadi kutoka katika Uislamu. Akitubu kabla ya eda kwisha, basi bado anabaki na mke wake. Eda ikwisha na bado hajatubia, anatengana na mume wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2018
Swali: Kuna mwanamke wa Kiislamu ambaye tayari kishaolewa anaitukana dini. Je, atalikike kwa mume wake kwa sababu ya kitendo hichi? Vipi ikiwa atatubia?
Jibu: Anaritadi kutoka katika Uislamu. Mwenye kutukana dini anatoka katika Uislamu midhali akili ya mtu huyo haina kasoro. Ikiwa akili yake ina kasoro hapati dhambi. Vinginevyo anaritadi kutoka katika Uislamu. Akitubu kabla ya eda kwisha, basi bado anabaki na mke wake. Eda ikwisha na bado hajatubia, anatengana na mume wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
Imechapishwa: 10/09/2018
https://firqatunnajia.com/mke-anatukana-dini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)