Swali: Ni ipi hukumu ya kubusa mkono wa mwanachuoni fulani?
Jibu: Hakuna neno kubusa mikono ya watu watatu: mkono wa mtawala, mkono wa baba na mkono wa mwanachuoni. Hakuna ubaya kubusa mikono yao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (21) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 14/03/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kubusa mkono wa mwanachuoni fulani?
Jibu: Hakuna neno kubusa mikono ya watu watatu: mkono wa mtawala, mkono wa baba na mkono wa mwanachuoni. Hakuna ubaya kubusa mikono yao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (21) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 14/03/2020
https://firqatunnajia.com/mikono-ya-watu-aina-mitatu-inayobusiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)