Swali: Kuna mtu amejichua sehemu za siri mchana wa Ramadhaan bila ya kufanya jimaa. Je, atoe kafara?
Jibu: Anachotakiwa ni yeye kulipa na kutubia kwa Allaah. Kuhusu kafara ni kwa yule aliyefanya jimaa ukeni.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 29/11/2019
Swali: Kuna mtu amejichua sehemu za siri mchana wa Ramadhaan bila ya kufanya jimaa. Je, atoe kafara?
Jibu: Anachotakiwa ni yeye kulipa na kutubia kwa Allaah. Kuhusu kafara ni kwa yule aliyefanya jimaa ukeni.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 29/11/2019
https://firqatunnajia.com/mfungaji-amefanya-punyeto-akatokwa-na-manii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)