Swali: Katika mji wetu Zakaat-ul-Fitwr kunatolewa pesa kwa hoja ya kwamba masikini hawataki nafaka au kitu kingine. Tufanye nini?
Jibu: Wenye kuamua sio masikini. Hii ni ´ibaadah. Inatakiwa kutekelezwa kama ilivyopokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yule asiyetaka chakula sio muhitaji. Badala yake wape wahitaji ambao wanataka chakula.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12939
- Imechapishwa: 21/06/2017
Swali: Katika mji wetu Zakaat-ul-Fitwr kunatolewa pesa kwa hoja ya kwamba masikini hawataki nafaka au kitu kingine. Tufanye nini?
Jibu: Wenye kuamua sio masikini. Hii ni ´ibaadah. Inatakiwa kutekelezwa kama ilivyopokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Yule asiyetaka chakula sio muhitaji. Badala yake wape wahitaji ambao wanataka chakula.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12939
Imechapishwa: 21/06/2017
https://firqatunnajia.com/masikini-wanataka-zakaat-ul-fitwr-pesa-badala-ya-chakula/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)