Swali: Ni ipi hukumu ya mtu akakusudia kuzidisha juu ya pishi katika Zakaat-ul-Fitwr hata kama atanuia kuwa ni swadaqah?
Jibu: Hakuna neno. Kuzidisha kumefunguliwa hakuna neno. Kisichojuzu ni kule kupunguza na wala hakitoshelezi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12939
- Imechapishwa: 21/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu akakusudia kuzidisha juu ya pishi katika Zakaat-ul-Fitwr hata kama atanuia kuwa ni swadaqah?
Jibu: Hakuna neno. Kuzidisha kumefunguliwa hakuna neno. Kisichojuzu ni kule kupunguza na wala hakitoshelezi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12939
Imechapishwa: 21/06/2017
https://firqatunnajia.com/kuzidisha-juu-ya-swaa-katika-zakaat-ul-fitwr/