Swali: Vipi kuhusu mtu ambaye anachinja pamoja na familia yake na yuko na watoto katika mji mwingine ambao bado hawajaoa na hawakuchinja. Ni kipi kinachowalazimu?
Jibu: Wakichinja ndio bora zaidi. Wakiacha kuchinja hakuna neno juu yao. Udhhiyah haimlazimu yeyote. Kwa sababu Udhhiyah msingi wake ni kwamba ni Sunnah iliokokotezwa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (25/24)
- Imechapishwa: 19/08/2018
Swali: Vipi kuhusu mtu ambaye anachinja pamoja na familia yake na yuko na watoto katika mji mwingine ambao bado hawajaoa na hawakuchinja. Ni kipi kinachowalazimu?
Jibu: Wakichinja ndio bora zaidi. Wakiacha kuchinja hakuna neno juu yao. Udhhiyah haimlazimu yeyote. Kwa sababu Udhhiyah msingi wake ni kwamba ni Sunnah iliokokotezwa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (25/24)
Imechapishwa: 19/08/2018
https://firqatunnajia.com/maoni-ya-ibn-uthaymiyn-kwa-anayeacha-kuchinja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)