Swali: Ni ipi hukumu ya kutaka msaada kutoka kwa majini waislamu?
Jibu: Hakuombwi msaada kutoka kwa majini, sawa yawe ya Kiislamu au yasiyokuwa ya Kiislamu.
Swali: Baadhi ya watu wanasema kwamba kuna ambayo yanaweza kuwa na karama?
Jibu: Hapana, mtu asiwaombi msaada wowote. Kwa sababu majini hayaaminiwi na wala hawasadikishwi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (04)
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kutaka msaada kutoka kwa majini waislamu?
Jibu: Hakuombwi msaada kutoka kwa majini, sawa yawe ya Kiislamu au yasiyokuwa ya Kiislamu.
Swali: Baadhi ya watu wanasema kwamba kuna ambayo yanaweza kuwa na karama?
Jibu: Hapana, mtu asiwaombi msaada wowote. Kwa sababu majini hayaaminiwi na wala hawasadikishwi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (04)
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/majini-hayaaminiwi-na-wala-hayasadikishwi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)