Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuwatukana na kuwaponda Maswahabah?
Jibu: Mwenye kuwatukana Maswahabah – kama wafanyavyo Raafidhwah – ni kafiri.
Swali: Ni jambo linalofikia katika kufuru?
Jibu: Ndio. Kwa sababu maana yake ni [sauti haiko wazi]. Kwa sababu wao ndio wabebaji wa Shari´ah. Maana yake ni kwamba wao sio waadilifu.
Lakini hata hivyo hakufuru akiwatukana baadhi yao. Kwa mfano wanayofanya baadhi ya watu wanapomtukana kama mfano wa Mu´aawiyah. Haya ni maasi na dhambi kubwa. Sio kufuru.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (04)
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuwatukana na kuwaponda Maswahabah?
Jibu: Mwenye kuwatukana Maswahabah – kama wafanyavyo Raafidhwah – ni kafiri.
Swali: Ni jambo linalofikia katika kufuru?
Jibu: Ndio. Kwa sababu maana yake ni [sauti haiko wazi]. Kwa sababu wao ndio wabebaji wa Shari´ah. Maana yake ni kwamba wao sio waadilifu.
Lakini hata hivyo hakufuru akiwatukana baadhi yao. Kwa mfano wanayofanya baadhi ya watu wanapomtukana kama mfano wa Mu´aawiyah. Haya ni maasi na dhambi kubwa. Sio kufuru.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah (04)
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwe-mwenye-kuwatukana-maswahabah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)