Ibn-ul-Qaasim amesema hakuna Mtume aliyetumwa kwa majini na watu isipokuwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) peke yake. Lakini hata hivyo hili liko mbali. Kwa kuwa udhahiri wa maneno Yake (Ta´ala):
يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا كِتَابًا أُنزِلَ مِن بَعْدِ مُوسَى
“Enyi watu yetu! Sisi tumesikia Kitabu kilichoteremshwa baada ya Muusa.” (46:30)
ni kwamba Muusa alitumwa kwao. Vilevile maneno Yake (Ta´ala):
يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ وَالْإِنسِ أَلَمْ يَأْتِكُمْ رُسُلٌ مِّنكُمْ
“[Siku ya Qiyaamah wataambiwa]: “Enyi wenzi wa majini na wanadamu! Je hawajakufikieni Mtume miongoni mwenu.” (06:130)
ni dalili yenye kuonesha kuwa walitumiwa Mitume.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/149)
- Imechapishwa: 31/05/2020
Ibn-ul-Qaasim amesema hakuna Mtume aliyetumwa kwa majini na watu isipokuwa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) peke yake. Lakini hata hivyo hili liko mbali. Kwa kuwa udhahiri wa maneno Yake (Ta´ala):
يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا كِتَابًا أُنزِلَ مِن بَعْدِ مُوسَى
“Enyi watu yetu! Sisi tumesikia Kitabu kilichoteremshwa baada ya Muusa.” (46:30)
ni kwamba Muusa alitumwa kwao. Vilevile maneno Yake (Ta´ala):
يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ وَالْإِنسِ أَلَمْ يَأْتِكُمْ رُسُلٌ مِّنكُمْ
“[Siku ya Qiyaamah wataambiwa]: “Enyi wenzi wa majini na wanadamu! Je hawajakufikieni Mtume miongoni mwenu.” (06:130)
ni dalili yenye kuonesha kuwa walitumiwa Mitume.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/149)
Imechapishwa: 31/05/2020
https://firqatunnajia.com/majini-hawakutumiwa-mtume-mwingine-zaidi-ya-muhammad/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)