Madhehebu haya saba yote ni batili. Haya ndio madhehebu yenye kuzunguka ulimwenguni. Lakini hata hivyo madhehebu haya hayakuenea sana. Tumeyaraddi. Madhehebu yalioenea kwa wingi ni Ashaa´irah na Kullaabiyyah. Madhehebu haya mawili yanakaribia kuwa mamoja. Wanachuoni wengi wa Fiqh na wengine, katika Hanaabilah na wengine, wameathirika na madhehebu ya Ashaa´irah. Hanafiyyah wengi vilevile madhehebu yao ni Ashaa´irah. Mwandishi wa “al-Ruudhw al-Murbiy´” mwanzoni alipoanza kusherehesha:
بسم الله الرحمن الرحيم
“Bismillaahi Rahmaan – Kwa jina la Allaah, Mwingi wa huruma”
Amefasiri “Rahmah” kuwa ni neema. Huu ni mfumo wa Ashaa´irah. Neema sio rehema.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/170)
- Imechapishwa: 31/05/2020
Madhehebu haya saba yote ni batili. Haya ndio madhehebu yenye kuzunguka ulimwenguni. Lakini hata hivyo madhehebu haya hayakuenea sana. Tumeyaraddi. Madhehebu yalioenea kwa wingi ni Ashaa´irah na Kullaabiyyah. Madhehebu haya mawili yanakaribia kuwa mamoja. Wanachuoni wengi wa Fiqh na wengine, katika Hanaabilah na wengine, wameathirika na madhehebu ya Ashaa´irah. Hanafiyyah wengi vilevile madhehebu yao ni Ashaa´irah. Mwandishi wa “al-Ruudhw al-Murbiy´” mwanzoni alipoanza kusherehesha:
بسم الله الرحمن الرحيم
“Bismillaahi Rahmaan – Kwa jina la Allaah, Mwingi wa huruma”
Amefasiri “Rahmah” kuwa ni neema. Huu ni mfumo wa Ashaa´irah. Neema sio rehema.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/170)
Imechapishwa: 31/05/2020
https://firqatunnajia.com/ashaairah-ndio-wenye-kusema-rehema-kuwa-ni-neema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)