Swali: Ni lini hulanikiwa maiti?
Jibu: Anayetaka kufa analakiniwa “Laa ilaaha illa Allaah”. Hivyo ndivyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyomfanyia ami yake Abu Twaalib pindi mauti yalipomjia. Alimwambia:
“Ami yangu! Sema “Laa ilaaha illa Allaah” ni maneno nitayokutetea kwayo mbele ya Allaah.”” al-Bukhaariy (1360) na Muslim (39).
Lakini hata hivyo ami yake Abu Twaalib hakuyatamka na hatimaye akafa juu ya shirki.
Kuhusu kumlakinia baada ya kufa ni Bid´ah. Hakukuthibiti Hadiyth kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya hilo. Kinachotakiwa kufanywa ni yale yaliyopokea Abu Daawuud ambapo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa akimaliza kumzika maiti husimama mbele yake na kusema:
“Muombeeni msamaha ndugu yenu na mumtakie uthabiti. Hakika hivi sasa ataulizwa.” Abuu Daawuud (3221).
Ama kusoma na kulakini kwenye kaburi ni Bid´ah isiyokuwa na asli10.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/74-75)
- Imechapishwa: 17/06/2017
Swali: Ni lini hulanikiwa maiti?
Jibu: Anayetaka kufa analakiniwa “Laa ilaaha illa Allaah”. Hivyo ndivyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyomfanyia ami yake Abu Twaalib pindi mauti yalipomjia. Alimwambia:
“Ami yangu! Sema “Laa ilaaha illa Allaah” ni maneno nitayokutetea kwayo mbele ya Allaah.”” al-Bukhaariy (1360) na Muslim (39).
Lakini hata hivyo ami yake Abu Twaalib hakuyatamka na hatimaye akafa juu ya shirki.
Kuhusu kumlakinia baada ya kufa ni Bid´ah. Hakukuthibiti Hadiyth kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) juu ya hilo. Kinachotakiwa kufanywa ni yale yaliyopokea Abu Daawuud ambapo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa akimaliza kumzika maiti husimama mbele yake na kusema:
“Muombeeni msamaha ndugu yenu na mumtakie uthabiti. Hakika hivi sasa ataulizwa.” Abuu Daawuud (3221).
Ama kusoma na kulakini kwenye kaburi ni Bid´ah isiyokuwa na asli10.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/74-75)
Imechapishwa: 17/06/2017
https://firqatunnajia.com/maiti-hulakiniwa-kabla-au-baada-ya-kufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)