Swali: Ni ipi hukumu ya kumsafirisha maiti kutoka nchi moja hadi nyingine?
Jibu: Inajuzu kumsafirisha maiti kumtoa katika mji mmoja hadi mwingine ikiwa kuna sababu sahihi. Kwa sharti kusikhofiwe juu ya viungo vya maiti kuharibika. Lakini hata hivyo lililo bora ni kumzika maiti katika ule mji aliyofiaeko. Kuna kufanya mbio katika kumwandaa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/76)
- Imechapishwa: 17/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kumsafirisha maiti kutoka nchi moja hadi nyingine?
Jibu: Inajuzu kumsafirisha maiti kumtoa katika mji mmoja hadi mwingine ikiwa kuna sababu sahihi. Kwa sharti kusikhofiwe juu ya viungo vya maiti kuharibika. Lakini hata hivyo lililo bora ni kumzika maiti katika ule mji aliyofiaeko. Kuna kufanya mbio katika kumwandaa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/76)
Imechapishwa: 17/06/2017
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-ndio-itafaa-kumsafirisha-maiti-kumtoa-mji-mmoja-hadi-mwingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)