Swali: Ni ipi maana ya maneno yetu pale tunaposema katika du´aa yetu ya kufungulia swalah:
وتعالى جدك
“Utukufu Wako uko juu.”?
Jibu: Maana yake ni kwamba ukuu na utukufu Wako uko juuu. Amesema (Subhaanah) katika Suurah “al-Jinn” juu ya majini ya kwamba walisema:
وَأَنَّهُ تَعَالَىٰ جَدُّ رَبِّنَا مَا اتَّخَذَ صَاحِبَةً وَلَا وَلَدًا
“Na kwamba hakika umetukuka kabisa utukufu wa Mola wetu, hakujifanyia mke wala mwana.”[1]
[1] 72:03
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/74)
- Imechapishwa: 11/01/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket