Kuna mtu mmoja alisema:
“Laiti ningejua anachosema an-Nasaa´iy kuhusu kumwingilia mwanamke kwa nyuma.” Akaulizwa juu ya hilo ambapo akajibu: “Mvinyo ni haramu na kuhusu kujamii kwa nyuma hakujasihi kupokelewa chochote juu ya hilo. Lakini Muhamad bin Ka´b al-Qaradhwiy amesimulia kupitia kwa Ibn ´Abbaas ambaye amesema:
“Miminia maji shamba lako utakavyo.”
Haitakiwi kuyavuka maneno yake.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameharamisha kuwaingilia wanawake kwa nyuma kwa njia nyingi kiasi cha kwamba haiyumkiniki kuyafumbia macho. Uharamu juu ya hilo uko wazi. Nimetunga kitabu kikubwa juu ya maudhui hayo.
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/127)
- Imechapishwa: 11/10/2020
Kuna mtu mmoja alisema:
“Laiti ningejua anachosema an-Nasaa´iy kuhusu kumwingilia mwanamke kwa nyuma.” Akaulizwa juu ya hilo ambapo akajibu: “Mvinyo ni haramu na kuhusu kujamii kwa nyuma hakujasihi kupokelewa chochote juu ya hilo. Lakini Muhamad bin Ka´b al-Qaradhwiy amesimulia kupitia kwa Ibn ´Abbaas ambaye amesema:
“Miminia maji shamba lako utakavyo.”
Haitakiwi kuyavuka maneno yake.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameharamisha kuwaingilia wanawake kwa nyuma kwa njia nyingi kiasi cha kwamba haiyumkiniki kuyafumbia macho. Uharamu juu ya hilo uko wazi. Nimetunga kitabu kikubwa juu ya maudhui hayo.
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/127)
Imechapishwa: 11/10/2020
https://firqatunnajia.com/limiminie-maji-shamba-lako-utakavyo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)