Swali: Ni ipi hukumu ya kuwapa hongera makafiri juu ya sikukuu zao kama siku ya taifa na nyenginezo?
Jibu: Haijuzu kuwapa hongera makafiri kwa ajili ya sikukuu zao. Isipokuwa ikiwa ni kwa lengo la kuwapaka mafuta kwa kuchelea shari ya makafiri. Hapo hakuna neno:
إِلَّا أَن تَتَّقُوا مِنْهُمْ تُقَاةً
”Isipokuwa mkiwa mnajilinda na shari zao.” (Aal ´Imraan 03: 28)
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidhl-il-Islaam (08) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/08.mp3
- Imechapishwa: 05/03/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kuwapa hongera makafiri juu ya sikukuu zao kama siku ya taifa na nyenginezo?
Jibu: Haijuzu kuwapa hongera makafiri kwa ajili ya sikukuu zao. Isipokuwa ikiwa ni kwa lengo la kuwapaka mafuta kwa kuchelea shari ya makafiri. Hapo hakuna neno:
إِلَّا أَن تَتَّقُوا مِنْهُمْ تُقَاةً
”Isipokuwa mkiwa mnajilinda na shari zao.” (Aal ´Imraan 03: 28)
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidhl-il-Islaam (08) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/08.mp3
Imechapishwa: 05/03/2019
https://firqatunnajia.com/kuwapongeza-makafiri-kwa-ajili-ya-siku-ya-taifa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)