Swali: Kwa nisba ya sikukuu za kikafiri kama ile inayoitwa “sikukuu ya krismasi” au sikukuu ya mwaka mpya. Je, inafaa kwa muislamu kuwapongeza marafiki zake makafiri kwa kitu hiki?
Jibu: Hapana. Asiwapongezi kwa kitu hiki wala asile kwenye chakula chao walichotengeneza katika sikukuu zao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=6Ve1DqfO5VI
- Imechapishwa: 15/12/2019
Swali: Kwa nisba ya sikukuu za kikafiri kama ile inayoitwa “sikukuu ya krismasi” au sikukuu ya mwaka mpya. Je, inafaa kwa muislamu kuwapongeza marafiki zake makafiri kwa kitu hiki?
Jibu: Hapana. Asiwapongezi kwa kitu hiki wala asile kwenye chakula chao walichotengeneza katika sikukuu zao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=6Ve1DqfO5VI
Imechapishwa: 15/12/2019
https://firqatunnajia.com/kuwapongeza-makafiri-kwa-ajili-ya-krismasi-au-mwaka-mpya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)