Swali: Kwa nisba ya sikukuu za kikafiri kama ile inayoitwa “sikukuu ya krismasi” au sikukuu ya mwaka mpya. Je, inafaa kwa muislamu kuwapongeza marafiki zake makafiri kwa kitu hiki?
Jibu: Hapana. Asiwapongezi kwa kitu hiki wala asile kwenye chakula chao walichotengeneza katika sikukuu zao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=6Ve1DqfO5VI
- Imechapishwa: 15/12/2019
Swali: Kwa nisba ya sikukuu za kikafiri kama ile inayoitwa “sikukuu ya krismasi” au sikukuu ya mwaka mpya. Je, inafaa kwa muislamu kuwapongeza marafiki zake makafiri kwa kitu hiki?
Jibu: Hapana. Asiwapongezi kwa kitu hiki wala asile kwenye chakula chao walichotengeneza katika sikukuu zao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=6Ve1DqfO5VI
Imechapishwa: 15/12/2019
https://firqatunnajia.com/kuwapongeza-makafiri-kwa-ajili-ya-krismasi-au-mwaka-mpya/