Swali: Mimi ni mwalimu nawafunza watoto Qur-aan katika ngazi ya shule ya msingi. Je, niwalazimishe watoto kutawadha kabla ya kugusa msahafu pamoja na kuwa kitendo hichi kina uzito mkubwa?
Jibu: Ndio. Ambaye kishafikisha miaka saba mlazimishe na mfunze.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/431/431.mp3
- Imechapishwa: 07/08/2018
Swali: Mimi ni mwalimu nawafunza watoto Qur-aan katika ngazi ya shule ya msingi. Je, niwalazimishe watoto kutawadha kabla ya kugusa msahafu pamoja na kuwa kitendo hichi kina uzito mkubwa?
Jibu: Ndio. Ambaye kishafikisha miaka saba mlazimishe na mfunze.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/431/431.mp3
Imechapishwa: 07/08/2018
https://firqatunnajia.com/kuwalazimisha-watoto-kutawadha-kabla-ya-kugusa-msahafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)