Swali: Wale wanaoenda kutazama michezo ya sarakasi na michezo mingine wanakufuru japo hawakuyaridhia?
Jibu: Ikiwa hawakuyaridhia wamefanya kitendo cha haramu ambacho wanapata dhambi kwacho. Ama wakiyaridhia ilihali wanajua kuwa ni uchawi, wanakufuru.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 156
- Imechapishwa: 12/01/2019
Swali: Wale wanaoenda kutazama michezo ya sarakasi na michezo mingine wanakufuru japo hawakuyaridhia?
Jibu: Ikiwa hawakuyaridhia wamefanya kitendo cha haramu ambacho wanapata dhambi kwacho. Ama wakiyaridhia ilihali wanajua kuwa ni uchawi, wanakufuru.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 156
Imechapishwa: 12/01/2019
https://firqatunnajia.com/kutazama-michezo-ya-sarakasi-au-mingine-ya-kichawi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)