Swali: Je, inajuzu kutabarruk kwa majasho ya mwanachuoni aliye hai au kitu chake kingine?
Jibu: Hakutabarrukiwi kwa majasho ya yeyote isipokuwa majasho ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Majasho, mate, nywele na maji ya wudhuu´ haya ni mambo maalum kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhusiana na wengine haijuzu.
Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) hawakutabarruk kwa majasho ya Abu Bakr, ´Umar na ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anhum). Hawakufanya hivo pamoja na kuwa hawa ndio watu wabora kabisa katika Ummah. Hawakutabarruk kwa majasho yao kwa kuwa haya ni mambo maalum kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (08) http://alfawzan.af.org.sa/node/2123
- Imechapishwa: 02/07/2020
Swali: Je, inajuzu kutabarruk kwa majasho ya mwanachuoni aliye hai au kitu chake kingine?
Jibu: Hakutabarrukiwi kwa majasho ya yeyote isipokuwa majasho ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Majasho, mate, nywele na maji ya wudhuu´ haya ni mambo maalum kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhusiana na wengine haijuzu.
Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) hawakutabarruk kwa majasho ya Abu Bakr, ´Umar na ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anhum). Hawakufanya hivo pamoja na kuwa hawa ndio watu wabora kabisa katika Ummah. Hawakutabarruk kwa majasho yao kwa kuwa haya ni mambo maalum kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (08) http://alfawzan.af.org.sa/node/2123
Imechapishwa: 02/07/2020
https://firqatunnajia.com/kutabarruk-kwa-majasho-ya-mwanachuoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)