Swali: Hujitahidi kuswali Witr katika wakati wake kabla ya kuingia kwa alfajiri. Lakini wakati mwingine nashindwa kuiswali kabla ya alfajiri kuingia. Je, inajuzu kwangu kuswali Witr baada ya alfajiri kuingia?
Jibu: Alfajiri ikishaingia na wewe bado hujaswali Witr huwezi kuswali Witr tena. Unachotakiwa kufanya ni wewe kuswali Rak´ah nne ikiwa umezowea kuswali Witr nne, Rak´ah sita ikiwa umezowea kuswali Witr tano. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anapopitwa na swalah ya usiku basi anaswali mchana Rak´ah kumi na mbili[1].
[1] Muslim (746).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (14/114)
- Imechapishwa: 17/06/2017
Swali: Hujitahidi kuswali Witr katika wakati wake kabla ya kuingia kwa alfajiri. Lakini wakati mwingine nashindwa kuiswali kabla ya alfajiri kuingia. Je, inajuzu kwangu kuswali Witr baada ya alfajiri kuingia?
Jibu: Alfajiri ikishaingia na wewe bado hujaswali Witr huwezi kuswali Witr tena. Unachotakiwa kufanya ni wewe kuswali Rak´ah nne ikiwa umezowea kuswali Witr nne, Rak´ah sita ikiwa umezowea kuswali Witr tano. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anapopitwa na swalah ya usiku basi anaswali mchana Rak´ah kumi na mbili[1].
[1] Muslim (746).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (14/114)
Imechapishwa: 17/06/2017
https://firqatunnajia.com/kuswali-witr-mchana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)