Download
Swali: Inajuzu kuswali nyuma ya anayesoma Qur-aan kwa utungo na anaipamba sauti yake kwa maqaamaat?
Jibu: Haijuzu. Maqaamaat ni katika istilahi za waimbaji. Haijuzu kuifanya Qur-aan nyimbo na kanuni za nyimbo. Hili ni haramu na haijuzu. Ikiwa anafanya hivi na nyinyi mna uhakika basi msiswali nyuma yake. Lakini iwe baada ya kumkataza. Mkimkataza na asiache jambo hili, msiswali nyuma yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-24_0.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Inajuzu kuswali nyuma ya anayesoma Qur-aan kwa utungo na anaipamba sauti yake kwa maqaamaat?
Jibu: Haijuzu. Maqaamaat ni katika istilahi za waimbaji. Haijuzu kuifanya Qur-aan nyimbo na kanuni za nyimbo. Hili ni haramu na haijuzu. Ikiwa anafanya hivi na nyinyi mna uhakika basi msiswali nyuma yake. Lakini iwe baada ya kumkataza. Mkimkataza na asiache jambo hili, msiswali nyuma yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-24_0.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuswali-nyuma-ya-imamu-anayesoma-qur-aan-kwa-maqaamaat/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)