Swali: Mimi ni mwanafunzi mwanamke ninayesoma shuleni. Je, inajuzu kuchelewesha swalah ya Dhuhr mpaka ninaporudi nyumbani pamoja na kuzingatia ya kwamba wakati mwingine nafika 01.30?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo ikiwa umeshughulishwa na masomo na haikukuwia wepesi kwako kuswali swalah mwanzoni mwa wakati. Hakuna neno. Wakati wa Dhuhr ni mpana. Ikiwa unaswali nyumbani kabla ya wakati kutoka nje ni sawa. Ikiwa kuna wepesi wa kuswali mwanzoni mwa wakati ndio bora zaidi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziy bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=1238&PageNo=1&BookID=5
- Imechapishwa: 15/03/2018
Swali: Mimi ni mwanafunzi mwanamke ninayesoma shuleni. Je, inajuzu kuchelewesha swalah ya Dhuhr mpaka ninaporudi nyumbani pamoja na kuzingatia ya kwamba wakati mwingine nafika 01.30?
Jibu: Hakuna neno kufanya hivo ikiwa umeshughulishwa na masomo na haikukuwia wepesi kwako kuswali swalah mwanzoni mwa wakati. Hakuna neno. Wakati wa Dhuhr ni mpana. Ikiwa unaswali nyumbani kabla ya wakati kutoka nje ni sawa. Ikiwa kuna wepesi wa kuswali mwanzoni mwa wakati ndio bora zaidi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziy bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Nuur ´alaad-Darb http://www.alifta.net/Fatawa/fatawaChapters.aspx?languagename=ar&View=Page&PageID=1238&PageNo=1&BookID=5
Imechapishwa: 15/03/2018
https://firqatunnajia.com/kuswali-mwanzoni-mwa-wakati-ndio-bora-zaidi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)