Swali: Maimamu wetu wanasema kuwa ni lazima kwa waislamu kumpigia kura kafiri ambaye ni bora. Wanachomaanisha ni kwamba tunapata dhambi ikiwa hatutofanya hivo na wanajengea hoja kwamba tunazuia ushahidi wa uongo na kwamba mtu anatakiwa azingatie manufaa na madhara na kujitahidi waislamu kudhuriwa kiasi kidogo iwezekanavyo. Wanasema kuwa Shaykh na ´Allaamah Ibn Baaz amejuzisha hilo. Ni ipi hukumu ya waislamu kumchagua kafiri ambaye ni bora?
Jibu: Mimi sionelei hivo. Siwezi kutoa fatwa inayojuzisha ingawa baadhi ya wanachuoni wamefanya hivo. Mimi sijui.
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.sahab.net/forums/index.php?app=forums&module=forums&controller=topic&id=126750
- Imechapishwa: 18/10/2020
Swali: Maimamu wetu wanasema kuwa ni lazima kwa waislamu kumpigia kura kafiri ambaye ni bora. Wanachomaanisha ni kwamba tunapata dhambi ikiwa hatutofanya hivo na wanajengea hoja kwamba tunazuia ushahidi wa uongo na kwamba mtu anatakiwa azingatie manufaa na madhara na kujitahidi waislamu kudhuriwa kiasi kidogo iwezekanavyo. Wanasema kuwa Shaykh na ´Allaamah Ibn Baaz amejuzisha hilo. Ni ipi hukumu ya waislamu kumchagua kafiri ambaye ni bora?
Jibu: Mimi sionelei hivo. Siwezi kutoa fatwa inayojuzisha ingawa baadhi ya wanachuoni wamefanya hivo. Mimi sijui.
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.sahab.net/forums/index.php?app=forums&module=forums&controller=topic&id=126750
Imechapishwa: 18/10/2020
https://firqatunnajia.com/kura-ya-muislamu-kwa-kafiri-bora/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)