Swali: Umesema kuwa inafaa kupiga kura? Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ndio, tumefanya hivo. Ni lazima watu wafanye hivo. Ikiwa kura za waislamu zitapotea, basi watu waovu pekee ndio watakaokaa bungeni.
Waislamu wakishiriki katika uchaguzi, wakawapigia kura wale ambao wanaona kuwa ni wastahiki. Basi kwa njia hiyo itafikiwa kheri na baraka.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-As-ilah al-Qatwariyyah, uk. 34
- Imechapishwa: 18/10/2020
Swali: Umesema kuwa inafaa kupiga kura? Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ndio, tumefanya hivo. Ni lazima watu wafanye hivo. Ikiwa kura za waislamu zitapotea, basi watu waovu pekee ndio watakaokaa bungeni.
Waislamu wakishiriki katika uchaguzi, wakawapigia kura wale ambao wanaona kuwa ni wastahiki. Basi kwa njia hiyo itafikiwa kheri na baraka.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-As-ilah al-Qatwariyyah, uk. 34
Imechapishwa: 18/10/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-kuhusu-kupiga-kura/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)