Swali: Mwenye kuswali akifungua mlango na akapinda katika Qiblah Swalah yake ni sahihi?
Jibu: Asipinde katika Qiblah. Afungue mlango na huku ameelekea Qiblah. Asipinde katika Qiblah isipokuwa kwa mambo ya khatari kama kuuawa mtu aliehai, nyoka, kitu chenye khatari au kumuua adui.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-4-23.mp3
- Imechapishwa: 09/11/2014
Jibu: Asipinde katika Qiblah. Afungue mlango na huku ameelekea Qiblah. Asipinde katika Qiblah isipokuwa kwa mambo ya khatari kama kuuawa mtu aliehai, nyoka, kitu chenye khatari au kumuua adui.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-4-23.mp3
Imechapishwa: 09/11/2014
http://firqatunnajia.com/kupinda-ndani-ya-swalah-kwa-dharurah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)