Swali: Ni ipi hukumu kupiga picha miti na majumba na vinginevyo?
Jibu: Kitu kisichokuwa na roho, hakuna neno kukipiga picha. Kilichoharamishwa ni kupiga picha viumbe vyenye roho, katika wanaadamu, minyama, ndege na kadhalika. Kila chenye roho, hili ndio kumekuja makatazo juu ya kukipigia picha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/5428
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu kupiga picha miti na majumba na vinginevyo?
Jibu: Kitu kisichokuwa na roho, hakuna neno kukipiga picha. Kilichoharamishwa ni kupiga picha viumbe vyenye roho, katika wanaadamu, minyama, ndege na kadhalika. Kila chenye roho, hili ndio kumekuja makatazo juu ya kukipigia picha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/5428
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/kupiga-picha-viumbe-visivyokuwa-na-roho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)