Swali: Katika nchi yetu ni jambo lililoenea kwa mwanaume kupeana mikono na wanawake ambao wameharamika kwake. Je, nina dhambi kwa kuwapa mikono wanawake watuwazima ambao ni ndugu zangu nikichelea ususuwavu.
Jibu: Haijuzu kwa mtu kupeana mkono na mwanamke ambaye sio Mahram wake. Haijalishi kitu hata kama ni mtumzima. Kwa sababu mambo ni kama ilivyosemwa, kila chenye kuanguka kina mwenye kukiokota. Huenda kweli mwanamke akawa mtumzima lakini hata mwili wake ukawa bado ni kama wa msichana. Hivyo kukapatikana fitina. Kwa kifupi jibu ni kuwa: haijuzu kwa mtu kupeana mkono na mwanamke. Isipokuwa akiwa mke wake au katika wale ambao ni Mahram zake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (66) http://binothaimeen.net/content/1498
- Imechapishwa: 02/02/2020
Swali: Katika nchi yetu ni jambo lililoenea kwa mwanaume kupeana mikono na wanawake ambao wameharamika kwake. Je, nina dhambi kwa kuwapa mikono wanawake watuwazima ambao ni ndugu zangu nikichelea ususuwavu.
Jibu: Haijuzu kwa mtu kupeana mkono na mwanamke ambaye sio Mahram wake. Haijalishi kitu hata kama ni mtumzima. Kwa sababu mambo ni kama ilivyosemwa, kila chenye kuanguka kina mwenye kukiokota. Huenda kweli mwanamke akawa mtumzima lakini hata mwili wake ukawa bado ni kama wa msichana. Hivyo kukapatikana fitina. Kwa kifupi jibu ni kuwa: haijuzu kwa mtu kupeana mkono na mwanamke. Isipokuwa akiwa mke wake au katika wale ambao ni Mahram zake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (66) http://binothaimeen.net/content/1498
Imechapishwa: 02/02/2020
https://firqatunnajia.com/kupeana-mikono-na-kikongwe-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)