Swali: Baadhi ya watu wanasema kufa al-Madiynah kuna fadhila kwa kuwa wewe unakuwa umekufa sehemu ambapo ni karibu na macho ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Hapana. Mtu hatopata isipokuwa matendo yake. Ni mamoja akafa al-Madiynah, akafa mashariki au magharibi. Mtu hana isipokuwa matendo yake. Kuna wanafiki waliofariki al-Madiynah ilihali ndio watu walio kwenye tabaka ya chini kabisa Motoni. Pamoja na hivyo walikufa al-Madiynah na al-Madiynah haitowafaa kitu. Kuna Maswahabah wengi waliokufa mashariki na magharibi ilihali ni Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (03) http://alfawzan.af.org.sa/node/2046
- Imechapishwa: 18/10/2016
Swali: Baadhi ya watu wanasema kufa al-Madiynah kuna fadhila kwa kuwa wewe unakuwa umekufa sehemu ambapo ni karibu na macho ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Je, maneno haya ni sahihi?
Jibu: Hapana. Mtu hatopata isipokuwa matendo yake. Ni mamoja akafa al-Madiynah, akafa mashariki au magharibi. Mtu hana isipokuwa matendo yake. Kuna wanafiki waliofariki al-Madiynah ilihali ndio watu walio kwenye tabaka ya chini kabisa Motoni. Pamoja na hivyo walikufa al-Madiynah na al-Madiynah haitowafaa kitu. Kuna Maswahabah wengi waliokufa mashariki na magharibi ilihali ni Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (03) http://alfawzan.af.org.sa/node/2046
Imechapishwa: 18/10/2016
https://firqatunnajia.com/kuna-fadhila-za-kufa-al-madiynah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)