Swali: Kuna mtoto wa mtu mmoja nimempa jina la “Twalha”. Jirani mmoja akanikataza na kusema “Jina hili ni lipya katika jamii”. Unasemaje kuhusu hili?
Jibu: Subhaana Allaah. Twalha bin ´Ubaydillaah ni mmoja katika [Maswahabah kumi] waliobashiriwa Pepo. Vipi mtu asijiite kwa jina lake!?
Mtu kama huyu wakuta hakatazi majina ya magharibi yaliyojaa kati ya Waislamu leo. Kwa nini asiyakataze haya na badala yake anakataza jina la Twalha?
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Kuna mtoto wa mtu mmoja nimempa jina la “Twalha”. Jirani mmoja akanikataza na kusema “Jina hili ni lipya katika jamii”. Unasemaje kuhusu hili?
Jibu: Subhaana Allaah. Twalha bin ´Ubaydillaah ni mmoja katika [Maswahabah kumi] waliobashiriwa Pepo. Vipi mtu asijiite kwa jina lake!?
Mtu kama huyu wakuta hakatazi majina ya magharibi yaliyojaa kati ya Waislamu leo. Kwa nini asiyakataze haya na badala yake anakataza jina la Twalha?
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kumpa-mtoto-jina-la-twalha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)