Swali: Ni ipi hukumu ya kumpa mtoto jina la “Maaria”?
Jibu: Kuitwa jina la Maaria hakuna neno. Ni jina linaloruhusu. Asli katika majina yote ni jambo mubaahah (linaloruhusu), isipokuwa ikiwa ndani ya jina hilo kutakuwa na kujifananisha na makafiri katika majina ya makafiri au ikawa ndani yake kuna kuelekezewa uabudiwa kwa asiyekuwa Allaah, kama “´Abdul-Husayn”, “´Abdul-Masiyh”, “´Abdul-Ka´bah”….
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13537
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kumpa mtoto jina la “Maaria”?
Jibu: Kuitwa jina la Maaria hakuna neno. Ni jina linaloruhusu. Asli katika majina yote ni jambo mubaahah (linaloruhusu), isipokuwa ikiwa ndani ya jina hilo kutakuwa na kujifananisha na makafiri katika majina ya makafiri au ikawa ndani yake kuna kuelekezewa uabudiwa kwa asiyekuwa Allaah, kama “´Abdul-Husayn”, “´Abdul-Masiyh”, “´Abdul-Ka´bah”….
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13537
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/kumpa-mtoto-jina-la-maaria/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)