Swali: Je, Qur-aan itapandishwa katika zama za mwisho?
Jibu: Ndio, wakati Qiyaamah kitaposimama. Wakati Qiyaamah kitaposimama Qur-aan itanyanyuliwa na wala hakutobaki katika ardhi mwenye kusema “Allaah! Allaah!”. Qiyaamah hakitosimama isipokuwa kitawakumba viumbe waovu ambao hawajui Dini na wala hawakatazi maovu, hawa ndio watasimamiwa na Qiyaamah na tunamuomba kinga kwa Allaah. Ama waumini zitachukuliwa nyoyo zao kabla ya hapo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13537
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Je, Qur-aan itapandishwa katika zama za mwisho?
Jibu: Ndio, wakati Qiyaamah kitaposimama. Wakati Qiyaamah kitaposimama Qur-aan itanyanyuliwa na wala hakutobaki katika ardhi mwenye kusema “Allaah! Allaah!”. Qiyaamah hakitosimama isipokuwa kitawakumba viumbe waovu ambao hawajui Dini na wala hawakatazi maovu, hawa ndio watasimamiwa na Qiyaamah na tunamuomba kinga kwa Allaah. Ama waumini zitachukuliwa nyoyo zao kabla ya hapo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13537
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/qiyaamah-hakitosimama-ila-kitawakumba-waovu-tu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)