Ikiwa sababu ya kuchukia ni kwa ajili ya Allaah ni sawa. Hili ni jambo limewekwa katika Shari´ah. Hili ni jambo linalotakikana na la sawa.
Ikiwa inahusiana na muislamu asichukiwe kwa jumla. Kwa haki ya muislamu ikibidi kuchukiwa, achukiwe upande fulani pamoja na kupendwa upande mwingine. Anapendwa kutokana na imani alio nayo, Tawhiyd na ´ibaadah na wakati huohuo anachukiwa kutokana na madhambi na maasi yake.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 483
- Imechapishwa: 10/05/2020
Ikiwa sababu ya kuchukia ni kwa ajili ya Allaah ni sawa. Hili ni jambo limewekwa katika Shari´ah. Hili ni jambo linalotakikana na la sawa.
Ikiwa inahusiana na muislamu asichukiwe kwa jumla. Kwa haki ya muislamu ikibidi kuchukiwa, achukiwe upande fulani pamoja na kupendwa upande mwingine. Anapendwa kutokana na imani alio nayo, Tawhiyd na ´ibaadah na wakati huohuo anachukiwa kutokana na madhambi na maasi yake.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 483
Imechapishwa: 10/05/2020
https://firqatunnajia.com/kukusanya-kati-ya-mapenzi-na-chuki-kwa-muislamu-%e2%80%82/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)