837- Nimemsikia Ahmad akiulizwa juu ya mtu ambaye kucha lake limevunjika katika Ihraam. Akajibu:
“Alikate.”
838- Nimemsikia Ahmad akiulizwa juu ya mwanamme ambaye amesuguasugua ndevu zake ambapo unywele ukadondoka. Akajibu:
“Kama unywele huo ulikuwa tayari umekwishatoka, basi hakuna kinachomlazimu.”
839- Nimemsikia Ahmad akisema:
“Mwenye kutoa unywele wake basi atoe 1.5 kg ya chakula.”
Bi maana wakati wa Ihraam.
840- Nimemsikia Muhrim mmoja akiwa na nywele mpaka kwenye mabega akisema kumwambia Ahmad:
“Nywele zangu zinanikera. Nizinyoe?”
Akajibu:
“Ukizinyoa basi utoe kafara ya kondoo au kufunga siku tatu.”
- Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/143)
- Imechapishwa: 14/04/2021
837- Nimemsikia Ahmad akiulizwa juu ya mtu ambaye kucha lake limevunjika katika Ihraam. Akajibu:
“Alikate.”
838- Nimemsikia Ahmad akiulizwa juu ya mwanamme ambaye amesuguasugua ndevu zake ambapo unywele ukadondoka. Akajibu:
“Kama unywele huo ulikuwa tayari umekwishatoka, basi hakuna kinachomlazimu.”
839- Nimemsikia Ahmad akisema:
“Mwenye kutoa unywele wake basi atoe 1.5 kg ya chakula.”
Bi maana wakati wa Ihraam.
840- Nimemsikia Muhrim mmoja akiwa na nywele mpaka kwenye mabega akisema kumwambia Ahmad:
“Nywele zangu zinanikera. Nizinyoe?”
Akajibu:
“Ukizinyoa basi utoe kafara ya kondoo au kufunga siku tatu.”
Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/143)
Imechapishwa: 14/04/2021
https://firqatunnajia.com/kukata-nywele-katika-ihraam/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)