Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuswali lakini anaichelewesha swalah kutoka wakati wake?
Jibu: Akikusudia kuchelewesha swalah kutoka wakati wake, bila ya kuwa na udhuru, haikubaliwi. Amesema (Ta´ala):
إِنَّ الصَّلَاةَ كَانَتْ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ كِتَابًا مَّوْقُوتًا
“Hakika swalah kwa waumini ni fardhi iliyowekwa nyakati maalum.” (04:103)
Bi maana imefaradhishwa katika nyakati maaluum.
Imekuja pia katika Hadiyth:
“Swali swalah kwa wakati wake.”
Ikiwa hana udhuru wenye kumfanya akaichelesha kutoka wakati wake, haikubaliwi. Huku ni kuipoteza swalah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15201
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuswali lakini anaichelewesha swalah kutoka wakati wake?
Jibu: Akikusudia kuchelewesha swalah kutoka wakati wake, bila ya kuwa na udhuru, haikubaliwi. Amesema (Ta´ala):
إِنَّ الصَّلَاةَ كَانَتْ عَلَى الْمُؤْمِنِينَ كِتَابًا مَّوْقُوتًا
“Hakika swalah kwa waumini ni fardhi iliyowekwa nyakati maalum.” (04:103)
Bi maana imefaradhishwa katika nyakati maaluum.
Imekuja pia katika Hadiyth:
“Swali swalah kwa wakati wake.”
Ikiwa hana udhuru wenye kumfanya akaichelesha kutoka wakati wake, haikubaliwi. Huku ni kuipoteza swalah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15201
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/kuitoa-swalah-nje-ya-wakati-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)