Swali: Ni jibu lipi kwa wale wanaotumia dalili ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliswali kwa kujumuisha na kufupisha kwa muda wa siku kumi na nne Tabuuk?
Jibu: Hili tumeshalijibu na mmesikia jibu. Mtume hakunuia kukaa. Alikaa huku anawasubiria maadui na hajui itachukua muda kiasi gani. Wanachuoni wa Fiqh wanasema mtu akikaa muda ambao hajui haja yake itaisha lini, afupishe swalah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14085
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni jibu lipi kwa wale wanaotumia dalili ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliswali kwa kujumuisha na kufupisha kwa muda wa siku kumi na nne Tabuuk?
Jibu: Hili tumeshalijibu na mmesikia jibu. Mtume hakunuia kukaa. Alikaa huku anawasubiria maadui na hajui itachukua muda kiasi gani. Wanachuoni wa Fiqh wanasema mtu akikaa muda ambao hajui haja yake itaisha lini, afupishe swalah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14085
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuhusu-mtume-kufupisha-swalah-tabuuk-siku-kumi-na-nne/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)