Swali: Je, inajuzu kwa Muislamu kuandika katika wasia wake fulani asimuoshe na asihudhurie jeneza lake kwa kuwa alimfanyia ubaya duniani?
Jibu: Hapana, haijuzu. Haijuzu kufanya hivi. Dunia imeisha. Ni juu yake kusamehe. Ama kuhusu kuusia fulani amswalie kutokana na fadhila zake, hakuna neno. Ausie fulani amuoshe na amswalie kutokana na fadhila zake na maarifa yake ya Ahkaam za kuosha, hakuna neno kufanya hivi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14085
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kwa Muislamu kuandika katika wasia wake fulani asimuoshe na asihudhurie jeneza lake kwa kuwa alimfanyia ubaya duniani?
Jibu: Hapana, haijuzu. Haijuzu kufanya hivi. Dunia imeisha. Ni juu yake kusamehe. Ama kuhusu kuusia fulani amswalie kutokana na fadhila zake, hakuna neno. Ausie fulani amuoshe na amswalie kutokana na fadhila zake na maarifa yake ya Ahkaam za kuosha, hakuna neno kufanya hivi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (72) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14085
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuusia-fulani-asifike-kwenye-mazishi-yangu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)