Swali: Mfanya I´tikaaf akitoka kwenda kufanya I´tikaaf pasina radhi ya wazazi wawili. Je, I´tikaaf yake inakuwa sahihi?
Jibu: Ikiwa wazazi wake wanamuhitajia, kuwatendea wema ni wajibu na I´tikaaf ni Sunnah. Ama ikiwa hawamuhitajii na hawadhuriki kwa hilo, ni juu yake kufahamiana nao na kupata radhi zao na afanye I´tikaaf. Vovyote itavyokuwa kusiwe baina yao mvutano.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (17) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-03-14.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket