Swali: Maneno Yake (Ta´ala):
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا تَدَايَنتُم بِدَيْنٍ إِلَىٰ أَجَلٍ مُّسَمًّى فَاكْتُبُوهُ
“Enyi mlioamini! Mtakapokopeshana deni kwa muda maalumu basi liandikeni.” (02:182)
Je, maamrisho ya kuandikiana deni ni ya wajibu? Anayemkopesa mtu na wasiandikiane deni hili wanapata madhambi?
Wanachuoni wanasema kuwa maamrisho haya ni ya maelekezo na sio ya wajibu. Kuandikiana imependekezwa na sio wajibu. Ni maamrisho ya maelekezo na sio ya ulazima na ya wajibu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-14.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Maneno Yake (Ta´ala):
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا تَدَايَنتُم بِدَيْنٍ إِلَىٰ أَجَلٍ مُّسَمًّى فَاكْتُبُوهُ
“Enyi mlioamini! Mtakapokopeshana deni kwa muda maalumu basi liandikeni.” (02:182)
Je, maamrisho ya kuandikiana deni ni ya wajibu? Anayemkopesa mtu na wasiandikiane deni hili wanapata madhambi?
Wanachuoni wanasema kuwa maamrisho haya ni ya maelekezo na sio ya wajibu. Kuandikiana imependekezwa na sio wajibu. Ni maamrisho ya maelekezo na sio ya ulazima na ya wajibu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-14.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuandikiana-deni-ni-wajibu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)