Swali: Je, inajuzu kuandika chini ya Aayah kwenye msahafu kwa kalamu ya mkaa ili nisisahau?
Jibu: Haijuzu kamwe kuandika kwenye msahafu. Hakuandikwi kwenye msahafu baina ya Aayah wala pembezoni mwake. Ndani ya msahafu hakuandikwi chochote kabisa, hakubaki ndani yake isipokuwa Qur-aan tu. Unapotaka kuandika, tafuta kitabu au karatasi pembeni na uandike unachotaka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/5428
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Je, inajuzu kuandika chini ya Aayah kwenye msahafu kwa kalamu ya mkaa ili nisisahau?
Jibu: Haijuzu kamwe kuandika kwenye msahafu. Hakuandikwi kwenye msahafu baina ya Aayah wala pembezoni mwake. Ndani ya msahafu hakuandikwi chochote kabisa, hakubaki ndani yake isipokuwa Qur-aan tu. Unapotaka kuandika, tafuta kitabu au karatasi pembeni na uandike unachotaka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/5428
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuandika-ndani-ya-msahafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)