Swali: Je, imethibiti kuwa ´Aqiyqah kwa mvulana au msichana inagawanywa au kualikwa watu?
Jibu: Inajuzu kualika watu na inajuzu yeye kuila na watu wa nyumbani kwake. Lakini bora zaidi atoe Swadaqah pia hata kama itakuwa kitu kidogo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (69) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13888
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, imethibiti kuwa ´Aqiyqah kwa mvulana au msichana inagawanywa au kualikwa watu?
Jibu: Inajuzu kualika watu na inajuzu yeye kuila na watu wa nyumbani kwake. Lakini bora zaidi atoe Swadaqah pia hata kama itakuwa kitu kidogo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (69) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13888
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kualika-watu-katika-aqiyqah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)