Swali: Ni ipi hukumu ya kope za uongo kwa ajili ya kumpambia mume?
Jibu: Huku ndio kuunganisha ambako amelaaniwa mwenye kufanya. Ni kuunganisha. Kuunganisha ni kurefusha nywele kwa nywele za bandia. Ni kubadilisha maumbile ya Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20-%2024-10-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kope za uongo kwa ajili ya kumpambia mume?
Jibu: Huku ndio kuunganisha ambako amelaaniwa mwenye kufanya. Ni kuunganisha. Kuunganisha ni kurefusha nywele kwa nywele za bandia. Ni kubadilisha maumbile ya Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20-%2024-10-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/kope-za-bandia-kumpambia-mume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)