Swali: Mtu anayemuhijia mwengine anapata thawabu sawa na yule mwenye hajj?
Jibu: Inategemea na nia. Ikiwa nia yake ni kuhiji badala ya ndugu yake na kumfanyia ihsani na yeye pia akajiombea mwenyewe katika zile sehemu tukufu, analipwa mara mbili; amemnufaisha ndugu yake na yeye mwenyewe kwa kuabudu katika sehemu hizi tukufu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20-%2024-10-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Mtu anayemuhijia mwengine anapata thawabu sawa na yule mwenye hajj?
Jibu: Inategemea na nia. Ikiwa nia yake ni kuhiji badala ya ndugu yake na kumfanyia ihsani na yeye pia akajiombea mwenyewe katika zile sehemu tukufu, analipwa mara mbili; amemnufaisha ndugu yake na yeye mwenyewe kwa kuabudu katika sehemu hizi tukufu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (36) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighasah%20-%2024-10-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/anayemuhijia-mwengine-anapata-thawabu-mfano-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)