Swali: Ikiwa mwanamke hawezi kupambanua damu yake, je, achukulie kuwa ni hedhi, istihaadah au kitu kingine? Je, mtu achukulie damu hii nini?
Jibu: Kimsingi damu inayomtoka mwanamke huwa ni hedhi mpaka pale ambapo itaonekana kuwa ni istihaadhah. Kwa ajili hiyo, achukulie damu kuwa ni hedhi mpaka pale ambapo itadhihiri kuwa ni istihaadhah.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/275)
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Ikiwa mwanamke hawezi kupambanua damu yake, je, achukulie kuwa ni hedhi, istihaadah au kitu kingine? Je, mtu achukulie damu hii nini?
Jibu: Kimsingi damu inayomtoka mwanamke huwa ni hedhi mpaka pale ambapo itaonekana kuwa ni istihaadhah. Kwa ajili hiyo, achukulie damu kuwa ni hedhi mpaka pale ambapo itadhihiri kuwa ni istihaadhah.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/275)
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/kimsingi-damu-imtokayo-mwanamke-huwa-ni-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)