Swali: Huku Urusi watu hawavai kile kinachoitwa “thawb ya kisaudi” au “kanzu ya kiarabu”. Ni ipi hukumu ya kijana wa Kiislamu kuvaa hivo huku? Je, inazingatiwa kuwa ni kivazi cha kutaka kuonekana?
Jibu: Kinachotakikana ni yeye kufunika viungo vyake visivyotakiwa kuonekana. Anatakiwa kuvaa kama wanavyovaa watu wa mji wake isipokuwa ikiwa kama ni kivazi cha haramu. Katika hali hii asikivae. Ama ikiwa ni kivazi kinachoruhusiwa, naye atakiwa kuvaa hivo. Asijifanye maalum kwa kivazi ili isije kuwa ni kutaka kuonekana.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (43) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2019%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Huku Urusi watu hawavai kile kinachoitwa “thawb ya kisaudi” au “kanzu ya kiarabu”. Ni ipi hukumu ya kijana wa Kiislamu kuvaa hivo huku? Je, inazingatiwa kuwa ni kivazi cha kutaka kuonekana?
Jibu: Kinachotakikana ni yeye kufunika viungo vyake visivyotakiwa kuonekana. Anatakiwa kuvaa kama wanavyovaa watu wa mji wake isipokuwa ikiwa kama ni kivazi cha haramu. Katika hali hii asikivae. Ama ikiwa ni kivazi kinachoruhusiwa, naye atakiwa kuvaa hivo. Asijifanye maalum kwa kivazi ili isije kuwa ni kutaka kuonekana.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (43) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2019%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/kanzu-urusi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)